sw_tn/act/13/40.md

697 B

Sentensi ungsnishi

Paulo anamalizia hotuba yake katika Sinagogi la Antiokia ya Pisidia aliyoianza katika sura 31:16.

Maelezo ya jumla

Katika ujumbe wake kwa watu wa Sinagogi, Paulo ananukuu nukuu ya Nabii Habakuki.

Kuweni waangalifu

"Iweni waangalifu kwa mambo ambayo nimekwisha waelezeni."

kwamba kitu walichokiongelea manabii

"Kwa kile manabii walishawahi kuzungumzia"

Tazama, enyi mnaodharau

"Mnaofanya mizaha, dharau"

mkashangae

"Mkashitushwe"

mkaangamie

"Kisha kufa"

Ninafanya kazi

"Ninatenda kitu"

Katika siku zenu

"Kipindi cha uhai wenu"

Kazi ambayo

"Ninafanya kitu ambacho"

hata kama mtu atawaeleza."

"Hata ikiwa mtu mmoja kuwaanbia habari yake"