forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
601 B
Markdown
24 lines
601 B
Markdown
# Lakini Mungu alimfufua
|
|
|
|
"Lakini" ni neno linaloonyesha nguvu ya kutofautisha usemi uliotangulia na ule unaofuata kama vile; "Watu walimwua Yesu lakini Mungu alimfufua Yesu"
|
|
|
|
# alimfufua kutoka wafu.
|
|
|
|
"Alimfufu kutoka miongoni mwa wale waliokuwa wamekufa"
|
|
|
|
# kufufuliwa
|
|
|
|
"Kufanywa mzima tena"
|
|
|
|
# Alionekana... Galilaya kuelekea Yerusalemu.
|
|
|
|
"Wanafunzi waliotembea pamoja na Yesu kutoka Galilaya mpaka Yerusalemu wakimwona kwa siku nyingi."
|
|
|
|
# Siku nyingi
|
|
|
|
"Tunajua kutoka maandiko mengine kwamba, muda wa siku arobaini"
|
|
|
|
# hawa sasa ni mashahidi wa watu.
|
|
|
|
"Sasa wanashuhudia kwa watu habari za Yesu"
|