sw_tn/act/13/30.md

601 B

Lakini Mungu alimfufua

"Lakini" ni neno linaloonyesha nguvu ya kutofautisha usemi uliotangulia na ule unaofuata kama vile; "Watu walimwua Yesu lakini Mungu alimfufua Yesu"

alimfufua kutoka wafu.

"Alimfufu kutoka miongoni mwa wale waliokuwa wamekufa"

kufufuliwa

"Kufanywa mzima tena"

Alionekana... Galilaya kuelekea Yerusalemu.

"Wanafunzi waliotembea pamoja na Yesu kutoka Galilaya mpaka Yerusalemu wakimwona kwa siku nyingi."

Siku nyingi

"Tunajua kutoka maandiko mengine kwamba, muda wa siku arobaini"

hawa sasa ni mashahidi wa watu.

"Sasa wanashuhudia kwa watu habari za Yesu"