forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.2 KiB
Markdown
44 lines
1.2 KiB
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Luka anaendelea na simlizi nyingine juu ya maisha ya Herode.
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Neno linaloweka daraja la kuelekea kwenye tukio jingine.
|
|
|
|
# Wakaenda kwa pamoja kwake.
|
|
|
|
Ni tukio lisilofurahisha kwamba wote walikwenda kwa Herode. "Wanaume waliowawakilisha watu wa Tiro na Sidoni walienda kwa pamoja kufanya mazungumzo pamoja na Herode.
|
|
|
|
# Wakawa na urafiki na Blasto
|
|
|
|
"Hawa watu walimfanya kuwa rafiki yao"
|
|
|
|
# Blasto
|
|
|
|
Blasto alikuwa msaidizi au ofisa wa Mfalme Herode.
|
|
|
|
# wakaomba amani,
|
|
|
|
"Wanaume wale waliomba kuwe na amani"
|
|
|
|
# nchi yao ilipokea chakula kutoka katika nchi ya mfalme.
|
|
|
|
Yawezekana walinunua chakula hiki. "Watu wa Tiro na Sidoni walikuwa wakinunua chakula chao chote kutoka kwa watu waliotawaliwa na Herode."
|
|
|
|
# nchi yao ilipokea chakula
|
|
|
|
Inaonekana Herode alikuwa amezuia nchi yake kutoa chakula kwa Tiro na Sidoni kwasababu alikuwa amewakasirikia watu wa nchi hizo.
|
|
|
|
# Siku iliyokusudiwa
|
|
|
|
Hii inawezekana ilikuwa ni siku ambayo Herode alikubali kukutana na wawakilishi wa miji ya Tiro na Sidoni.
|
|
|
|
# mavazi ya kifalme
|
|
|
|
Mavazi ya gharama ambayo yangemdhihirisha kuwa alikuwa mfalme.
|
|
|
|
# kukaa kwenye kiti chake cha kifalme,
|
|
|
|
Hii ilikuwa ni kawaida ya Herode kufanya wakati watu walikuja kumwona.
|