sw_tn/act/12/16.md

349 B

Maelezo ya jumla

Ingawa Herode alikuwa amemwua Yakobo sura 12:1, hata hivyo kulikuwa na Yakobo zaidi ya mmoja.

Lakini Petro aliendelea kubisha

Neno "Kuendelea" linamaanisha Petro alifuluriza kubisha kwa mudo wote wale wa ndani wakiwa wanazungumza habari zake.

Wajulishe haya mambo

"Waambieni habari hizi"

Ndugu zake

"Waumini wengine"