forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
349 B
Markdown
16 lines
349 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Ingawa Herode alikuwa amemwua Yakobo sura 12:1, hata hivyo kulikuwa na Yakobo zaidi ya mmoja.
|
||
|
|
||
|
# Lakini Petro aliendelea kubisha
|
||
|
|
||
|
Neno "Kuendelea" linamaanisha Petro alifuluriza kubisha kwa mudo wote wale wa ndani wakiwa wanazungumza habari zake.
|
||
|
|
||
|
# Wajulishe haya mambo
|
||
|
|
||
|
"Waambieni habari hizi"
|
||
|
|
||
|
# Ndugu zake
|
||
|
|
||
|
"Waumini wengine"
|