forked from WA-Catalog/sw_tn
52 lines
1.2 KiB
Markdown
52 lines
1.2 KiB
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Maelezo haya yanawataja binti Rhoda pamoja na wote waliokuwa wakiomba mle chumbani.
|
|
|
|
# Alibisha mlangoni
|
|
|
|
"Petro alibisha mlangoni" Alizidi kugongagonga kama ilivyokuwa desturi ya Wayahudi ili kuruhusu waliopo kujua kuwa wametembelewa.
|
|
|
|
# kwenye mlango wa kizuizi
|
|
|
|
"Katika mlango wa nje" au "Katika mlango wa kuingilia kutoka barabarani hadi kwenye yadi ya nyumba"
|
|
|
|
# Akaja kufungua
|
|
|
|
"Alikuja getini kuuliza ni nani aliyekuwa anabisha hodi"
|
|
|
|
# Kwa furaha
|
|
|
|
"Kwa vile alijawa na furaha" au "Furaha kupita kiasi"
|
|
|
|
# Alishindwa kuufungua mlango
|
|
|
|
"Hakuweza kuufungua mlango" au "Alisahau kufungua mlango"
|
|
|
|
# akakimbia ndani ya chumba
|
|
|
|
"Alikwenda mbio kwenye chumba cha nyumba ile"
|
|
|
|
# na kuwajulisha
|
|
|
|
liwajulisha au "Alisema"
|
|
|
|
# Petro amesimama mbele ya Mlango
|
|
|
|
"Amesimama nje mbele ya mlango"
|
|
|
|
# Wewe ni mwendawazimu
|
|
|
|
Watu siyo tu hawakumwamini, bali walimkemea pia kwa kusema maneno ya kipuuzi.
|
|
|
|
# lakini alikazia kuwa ni kweli
|
|
|
|
"Alisisitiza kusema alichowaambia kilikuwa cha kweli"
|
|
|
|
# Wakamwambia
|
|
|
|
"Walimwambia"
|
|
|
|
# Ni malaika wake
|
|
|
|
"KIle ulichokiona ni malaika wa Petro" Wayahudi waliamini kuwa na malaika mlinzi na inawezekana walifikiri kwa Petro hivyo, kuwa malaika wa Petro alikuwa amekuja kwao.
|