sw_tn/act/12/11.md

464 B

Petro alipojitambua

"Petro alipopata ufahamu alitambua kuwa tukio lilikuwa halisi"

ili kunitoa katika mikono ya Herode,

ungu ameniokoa na mkono mbaya wa Herode uliopangwa kwa ajili yangu"

na kwa matarajio ya watu wote wa uyahudi

"Kwamba Wayahudi viongozi walidhani ingefanikiwa kwa Petro kuuawa"

Baada ya kujua haya

Herode alitambua kuwa Mungu alikuwa amemwpusha Petro na hukumu ya yake.

Yohana ambaye ni Marko

"Yohana ambaye pia aliitwa Marko"