forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
464 B
Markdown
20 lines
464 B
Markdown
|
# Petro alipojitambua
|
||
|
|
||
|
"Petro alipopata ufahamu alitambua kuwa tukio lilikuwa halisi"
|
||
|
|
||
|
# ili kunitoa katika mikono ya Herode,
|
||
|
|
||
|
ungu ameniokoa na mkono mbaya wa Herode uliopangwa kwa ajili yangu"
|
||
|
|
||
|
# na kwa matarajio ya watu wote wa uyahudi
|
||
|
|
||
|
"Kwamba Wayahudi viongozi walidhani ingefanikiwa kwa Petro kuuawa"
|
||
|
|
||
|
# Baada ya kujua haya
|
||
|
|
||
|
Herode alitambua kuwa Mungu alikuwa amemwpusha Petro na hukumu ya yake.
|
||
|
|
||
|
# Yohana ambaye ni Marko
|
||
|
|
||
|
"Yohana ambaye pia aliitwa Marko"
|