forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
628 B
Markdown
24 lines
628 B
Markdown
# Petro akawekwa gerezani,
|
|
|
|
Inamaanisha Maaskari waliendelea kumlinda Petro ndani ya gereza.
|
|
|
|
# lakini maombi yakafanywa kwa bidii na kusanyiko kwa ajili yake
|
|
|
|
Kundi la waumini wa Yerusalemu kwa nia moja walimwomba Mungu kwa ajili yake.
|
|
|
|
# Kwa nia moja
|
|
|
|
"Walizidi kujikabidhi" au "Kwa nia moja bila kukatisha maombi"
|
|
|
|
# Herode alikuwa anatarajia kumtoa nje
|
|
|
|
Herode alikuwa amepanga kumtoa Petro nje ya gereza ili kumhukumu.
|
|
|
|
# amefungwa na minyororo miwili,
|
|
|
|
"alifungwa kwa minyororo miwili". Kila mnyororo ulikuwa umeunganishwa kwa walinzi wawili walioketi karibu na Petro.
|
|
|
|
# Wakilinda gereza.
|
|
|
|
"Wakifanya kazi yao ya ulinzi"
|