sw_tn/act/12/05.md

628 B

Petro akawekwa gerezani,

Inamaanisha Maaskari waliendelea kumlinda Petro ndani ya gereza.

lakini maombi yakafanywa kwa bidii na kusanyiko kwa ajili yake

Kundi la waumini wa Yerusalemu kwa nia moja walimwomba Mungu kwa ajili yake.

Kwa nia moja

"Walizidi kujikabidhi" au "Kwa nia moja bila kukatisha maombi"

Herode alikuwa anatarajia kumtoa nje

Herode alikuwa amepanga kumtoa Petro nje ya gereza ili kumhukumu.

amefungwa na minyororo miwili,

"alifungwa kwa minyororo miwili". Kila mnyororo ulikuwa umeunganishwa kwa walinzi wawili walioketi karibu na Petro.

Wakilinda gereza.

"Wakifanya kazi yao ya ulinzi"