sw_tn/act/11/15.md

579 B

Maelezo ya jumla

Hapa Petro anajumuisha yeye, Mitume na Wayahudi waumini wote waliopokea Roho Mtakatifu katika siku ya Pentekoste.

Nilipoanza kusema nao, Roho mtakatifu akaja juu yao

namaanisha kwamba, "Petro kabla hajamaliza kunena, kwa vile alikuwa amenuia kusema nao zaidi, Roho Mtakatifu akaingilia kati kwa kuwashukia.

Roho mtakatifu akaja juu yao kama alivyokuja kwetu mwanzoni.

Roho Mtakatifu alishuka kwa wamataifa walioamini kama vile alivyofanya kwetu siku ya Pentekoste.

mtabatizwa katika Roho mtakatifu

Mungu atawabatizeni ninyi katika Roho Mtakatifu.