forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
579 B
Markdown
16 lines
579 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Hapa Petro anajumuisha yeye, Mitume na Wayahudi waumini wote waliopokea Roho Mtakatifu katika siku ya Pentekoste.
|
||
|
|
||
|
# Nilipoanza kusema nao, Roho mtakatifu akaja juu yao
|
||
|
|
||
|
namaanisha kwamba, "Petro kabla hajamaliza kunena, kwa vile alikuwa amenuia kusema nao zaidi, Roho Mtakatifu akaingilia kati kwa kuwashukia.
|
||
|
|
||
|
# Roho mtakatifu akaja juu yao kama alivyokuja kwetu mwanzoni.
|
||
|
|
||
|
Roho Mtakatifu alishuka kwa wamataifa walioamini kama vile alivyofanya kwetu siku ya Pentekoste.
|
||
|
|
||
|
# mtabatizwa katika Roho mtakatifu
|
||
|
|
||
|
Mungu atawabatizeni ninyi katika Roho Mtakatifu.
|