forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
536 B
Markdown
24 lines
536 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Petro anaanza hotuba kuongea na kila mtu ndani ya nyumba ya Kornelio.
|
|
|
|
# Ndipo Petro akafungua mdomo wake na kusema
|
|
|
|
"Petro alianza kuzungumza kwao"
|
|
|
|
# Hakika
|
|
|
|
Hii inamaanisha kile anachokwenda kukisema kina umuhimu wa kukijua
|
|
|
|
# Mungu hawezi kuwa na upendeleo
|
|
|
|
"Mungu hapendelei watu maalumu"
|
|
|
|
# kila mtu yeyote anayemwabudu na kufanya matendo ya haki anakubalika kwake
|
|
|
|
"anamkubali kila mtu anayemwabudu na kufanya matendo ya haki"
|
|
|
|
# Ibada
|
|
|
|
Neno "Ibada" linamaanisha nia ya ndani ya heshima na kicho cha kweli.
|