sw_tn/act/10/34.md

536 B

Sentensi unganishi

Petro anaanza hotuba kuongea na kila mtu ndani ya nyumba ya Kornelio.

Ndipo Petro akafungua mdomo wake na kusema

"Petro alianza kuzungumza kwao"

Hakika

Hii inamaanisha kile anachokwenda kukisema kina umuhimu wa kukijua

Mungu hawezi kuwa na upendeleo

"Mungu hapendelei watu maalumu"

kila mtu yeyote anayemwabudu na kufanya matendo ya haki anakubalika kwake

"anamkubali kila mtu anayemwabudu na kufanya matendo ya haki"

Ibada

Neno "Ibada" linamaanisha nia ya ndani ya heshima na kicho cha kweli.