forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
517 B
Markdown
20 lines
517 B
Markdown
# Sentensi unganishi:
|
|
|
|
Petro anawaelekea watu waliokuwa wamekusanyika kwenye nyumba ya Kornelio.
|
|
|
|
# watu wengi wamekusanyika pamoja
|
|
|
|
"akakuta wamataifa wengi wamekusanyika pamoja." hii inamaanisha kuwa watu ambao Kornelio alikuwa amewaalika walikuwa wamataifa.
|
|
|
|
# Ninyi wenyewe mnajua
|
|
|
|
Petro anamlenga Korneria na wageni aliokuwa amewaalika.
|
|
|
|
# siyo sheria ya kiyahudi
|
|
|
|
"imefichika kwa wayahudi"
|
|
|
|
# mtu ambaye si wa taifa hili.
|
|
|
|
Anaelezea watu ambao hawakuwa wayahudi, bila kutaja maeneo maalumu walikokuwa wanaishi.
|