sw_tn/act/10/27.md

517 B

Sentensi unganishi:

Petro anawaelekea watu waliokuwa wamekusanyika kwenye nyumba ya Kornelio.

watu wengi wamekusanyika pamoja

"akakuta wamataifa wengi wamekusanyika pamoja." hii inamaanisha kuwa watu ambao Kornelio alikuwa amewaalika walikuwa wamataifa.

Ninyi wenyewe mnajua

Petro anamlenga Korneria na wageni aliokuwa amewaalika.

siyo sheria ya kiyahudi

"imefichika kwa wayahudi"

mtu ambaye si wa taifa hili.

Anaelezea watu ambao hawakuwa wayahudi, bila kutaja maeneo maalumu walikokuwa wanaishi.