sw_tn/act/09/23.md

550 B

Wayahudi

Inamaanisha Wayahudi viongozi.

lakini mpango wao ukajulikana na Sauli

"Lakini mtu mmoja akawaambia mpango wao kwa Sauli" au "Lakini Sauli akafahamu mipango yao juu yake"

Wakamvizia mlangoni

Mji huu ulikuwa na ukuta uliouzunguka.Watu waliingia na kutoka katika mji huo kupitia mlango.

Wanafunzi wake

Watu walioamini ujumbe wa Sauli kuhusu Yesu na walifuatilia mafundisho yake

wakamshusha kupitia ukutani, wakamtelemsha chini katika kapu

Kwa kutumia kamba walimshusha Sauli katika kikapu kikubwa kupitia tundu katika ukuta.