forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
550 B
Markdown
20 lines
550 B
Markdown
|
# Wayahudi
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha Wayahudi viongozi.
|
||
|
|
||
|
# lakini mpango wao ukajulikana na Sauli
|
||
|
|
||
|
"Lakini mtu mmoja akawaambia mpango wao kwa Sauli" au "Lakini Sauli akafahamu mipango yao juu yake"
|
||
|
|
||
|
# Wakamvizia mlangoni
|
||
|
|
||
|
Mji huu ulikuwa na ukuta uliouzunguka.Watu waliingia na kutoka katika mji huo kupitia mlango.
|
||
|
|
||
|
# Wanafunzi wake
|
||
|
|
||
|
Watu walioamini ujumbe wa Sauli kuhusu Yesu na walifuatilia mafundisho yake
|
||
|
|
||
|
# wakamshusha kupitia ukutani, wakamtelemsha chini katika kapu
|
||
|
|
||
|
Kwa kutumia kamba walimshusha Sauli katika kikapu kikubwa kupitia tundu katika ukuta.
|