sw_tn/act/09/17.md

663 B

Sentensi unganishi

Anania anaenda katika nyumba ambapo Sauli anaishi. Baada ya kuponywa , simulizi inabadilika kutoka kwa Anania kwenda kwa Sauli.

Anania akaenda, akaingia mle nyumbani;

Anania likwenda kwenye na baada ya kuipata ile nyumba mahali alipokuwepo Sauli akaingia ndani.

Kumwekea mikono

Anania aliweka mikono yake juu ya Sauli

amenituma ili upate kuona na kujazwa roho mtakatifu

"Amenituma ili upate kuona tena na Roho Mtakatifu akujaze"

Kitu kama magamba

"Kitu kilitokea kama magamba ya samaki na kuanguka toka machoni"

akapata kuona

Alikuwa na uwezo wa kuona tena

Aliinuka na akabatizwa

"Sauli aliiuka na Anania akambatiza"