forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
663 B
Markdown
28 lines
663 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Anania anaenda katika nyumba ambapo Sauli anaishi. Baada ya kuponywa , simulizi inabadilika kutoka kwa Anania kwenda kwa Sauli.
|
||
|
|
||
|
# Anania akaenda, akaingia mle nyumbani;
|
||
|
|
||
|
Anania likwenda kwenye na baada ya kuipata ile nyumba mahali alipokuwepo Sauli akaingia ndani.
|
||
|
|
||
|
# Kumwekea mikono
|
||
|
|
||
|
Anania aliweka mikono yake juu ya Sauli
|
||
|
|
||
|
# amenituma ili upate kuona na kujazwa roho mtakatifu
|
||
|
|
||
|
"Amenituma ili upate kuona tena na Roho Mtakatifu akujaze"
|
||
|
|
||
|
# Kitu kama magamba
|
||
|
|
||
|
"Kitu kilitokea kama magamba ya samaki na kuanguka toka machoni"
|
||
|
|
||
|
# akapata kuona
|
||
|
|
||
|
Alikuwa na uwezo wa kuona tena
|
||
|
|
||
|
# Aliinuka na akabatizwa
|
||
|
|
||
|
"Sauli aliiuka na Anania akambatiza"
|