sw_tn/act/08/36.md

444 B

Wakati wakiwa njiani

Waliendelea na safari njiani

wakafika penye maji

Haiko wazi kama haya "Maji" yalikuwa ya kijito au bwawa la maji au maji mengi. tunachofahamu yalikuwa na kina cha kutosha kuwaza kwenda chini yake.

"Tazama, pana maji hapa nini kinazuia nisibatizwe?,

Towashi alitumia swali hili kumwomba Filipo amruhusu kubatizwa. "Tafadhali niruhusu nibatizwe"

akaamuru gari lisimame.

Akamwambia dereva wa mkokoteni asimame.