sw_tn/act/08/32.md

570 B

Maelezo ya jumla

Hiki ni kifungu kutoka katika kitabu cha Isaya

Kama kondoo mbele ya mchungaji akiwa kimya

Mkata manyoya ni mtu ambaye anakata manyoya ya sufu za kondoo ili zitumike.

Kwa kuhuzunishwa kwake hukumu yake iliondolewa

Alidharauliwa na kuhukumiwa bila haki.

Nani ataeleza kizazi chake?

Swali hili lilitumika kuelezea kuwa hatakuwa na uzao. Kwamba; "Hakuna hata mmoja atakayeweza kuzungumzia habari za uzao wake"

maisha yake yameondolewa katika nchi."

Hii inaelezea kifo chake. "Watu walimwua" au "Watu waliyaondoa maisha yake hapa duniani"