forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
570 B
Markdown
20 lines
570 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Hiki ni kifungu kutoka katika kitabu cha Isaya
|
||
|
|
||
|
# Kama kondoo mbele ya mchungaji akiwa kimya
|
||
|
|
||
|
Mkata manyoya ni mtu ambaye anakata manyoya ya sufu za kondoo ili zitumike.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuhuzunishwa kwake hukumu yake iliondolewa
|
||
|
|
||
|
Alidharauliwa na kuhukumiwa bila haki.
|
||
|
|
||
|
# Nani ataeleza kizazi chake?
|
||
|
|
||
|
Swali hili lilitumika kuelezea kuwa hatakuwa na uzao. Kwamba; "Hakuna hata mmoja atakayeweza kuzungumzia habari za uzao wake"
|
||
|
|
||
|
# maisha yake yameondolewa katika nchi."
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea kifo chake. "Watu walimwua" au "Watu waliyaondoa maisha yake hapa duniani"
|