sw_tn/act/08/14.md

847 B

Sentensi unganishi

Luka anaendeleza habari ya kile kilichokuwa kinatokea huko Samaria.

Wakati mitume wa Yerusalemu waliposikia

Alama hii ni ya mwanzo wa sehemu mpya ya simlizi ya waumini walivyokuwa wakiendelea huko Samaria.

Samaria

"Samaria" Neno linaloelezea juu ya watu wengi waliokuwa waumini katika wilaya yote ya Samaria.

Pale waliposhuka chini

"Pale Petro na Yohana waliposhuka chini" kwenda Samaria.

Waliomba kwa ajili yao

"Petro na Yohana waliwaombea waamini wa Samaria"

Kwamba wangepokea Roho Mtakatifu.

"Kwamba Wasamaria wanaoamini wangeweza kupokea Roho Mtakatifu"

Walikuwa tu wamebatizwa

"Filipo alikuwa tu amewabatiza katika Jina la Bwana Yesu Wasamria walioamini"

Ndipo Petro na Yohana wakaweka mikono yao kwao

"Kwao" linahusu watu wa Wasamaria ambao waliamini ujumbe wa injili kutoka kwa Filipo".