forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
847 B
Markdown
32 lines
847 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Luka anaendeleza habari ya kile kilichokuwa kinatokea huko Samaria.
|
||
|
|
||
|
# Wakati mitume wa Yerusalemu waliposikia
|
||
|
|
||
|
Alama hii ni ya mwanzo wa sehemu mpya ya simlizi ya waumini walivyokuwa wakiendelea huko Samaria.
|
||
|
|
||
|
# Samaria
|
||
|
|
||
|
"Samaria" Neno linaloelezea juu ya watu wengi waliokuwa waumini katika wilaya yote ya Samaria.
|
||
|
|
||
|
# Pale waliposhuka chini
|
||
|
|
||
|
"Pale Petro na Yohana waliposhuka chini" kwenda Samaria.
|
||
|
|
||
|
# Waliomba kwa ajili yao
|
||
|
|
||
|
"Petro na Yohana waliwaombea waamini wa Samaria"
|
||
|
|
||
|
# Kwamba wangepokea Roho Mtakatifu.
|
||
|
|
||
|
"Kwamba Wasamaria wanaoamini wangeweza kupokea Roho Mtakatifu"
|
||
|
|
||
|
# Walikuwa tu wamebatizwa
|
||
|
|
||
|
"Filipo alikuwa tu amewabatiza katika Jina la Bwana Yesu Wasamria walioamini"
|
||
|
|
||
|
# Ndipo Petro na Yohana wakaweka mikono yao kwao
|
||
|
|
||
|
"Kwao" linahusu watu wa Wasamaria ambao waliamini ujumbe wa injili kutoka kwa Filipo".
|