sw_tn/act/08/09.md

617 B

Maelezo ya jumla

Simoni ametajwa kwenye simlizi hii ya Filipo. Mistari ya 9-11ni maelezo yanayomhusu Simoni ya kuwa alikuwa nani miongoni mwa wasamaria.

Lakini palikuwana mtu mmoja ...jina lake Simoni

Hii ni njia ya kumtambulisha mtu mgeni katika simulizi. Lugha yako pengine inaweza kutumia maneno tofauti kumtambulisha mtu mgeni katika simulizi.

Mji

"Mji wa Samaria"

Wasamaria wote tangu mdogo hata mkubwa

Hii inaongeza chumvi. "Wasamaria wengi katika mji wa Samaria.:

Huyu mtu ni ile nguvu ya Mungu ambayo ni Kuu.

Watu walikuwa wanasema kwamba Simoni ni nguvu ya Mungu inayojulikana Nguvu Kuu.