sw_tn/act/08/04.md

485 B

Sentensi unganishi

Hapa panaanzia simlizi inayomhusu Filipi, ambaye watu walikuwa wamemchagua kuwa shemasi,

Ambao walikuwa wametawanyika

" waumini ambao walikuwa wametanyika kwa mateso makubwa".

Alienda mpaka Mji wa Samaria

"Kwenda chini" Neno limetumika hapa kwasababu Samaria iko kwenye ukanda wa chini zaidi ya Yerusalemu.

Mji wa Samaria

Haiko wazi kama ni mji wa Samaria katika mji wa Samaria.

akamtangaza Kristo huko

Cheyo "Kristo" kinamwelezea Yesu, Masihi.