forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
485 B
Markdown
20 lines
485 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hapa panaanzia simlizi inayomhusu Filipi, ambaye watu walikuwa wamemchagua kuwa shemasi,
|
||
|
|
||
|
# Ambao walikuwa wametawanyika
|
||
|
|
||
|
" waumini ambao walikuwa wametanyika kwa mateso makubwa".
|
||
|
|
||
|
# Alienda mpaka Mji wa Samaria
|
||
|
|
||
|
"Kwenda chini" Neno limetumika hapa kwasababu Samaria iko kwenye ukanda wa chini zaidi ya Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# Mji wa Samaria
|
||
|
|
||
|
Haiko wazi kama ni mji wa Samaria katika mji wa Samaria.
|
||
|
|
||
|
# akamtangaza Kristo huko
|
||
|
|
||
|
Cheyo "Kristo" kinamwelezea Yesu, Masihi.
|