sw_tn/act/07/54.md

826 B

Sentensi unganishi

Baraza lilimjia juu Stefano kutokana na ujumbe wake.

wajumbe wa baraza waliposikia mambo haya,

Hii ni hatua ya kugeuka; mahubiri yalifikia mwisho na baraza likachukua hatua.

wakachomwa mioyo

Hii ni fumbo kwa, "kujawa na hasira"

wakamsagia meno

Hili ni fumbo linaloelezea hasira nzito au chuki. "walikuwa na hasira ambayo walisaga meno yao kwa pamoja."

Aliangalia mbinguni kwa makini

"Aliangalia juu kwenye mawingu."Inatokea kwamba Stefano peke yake aliona maono siyo mwingine yeyote katika mkutano.

akaon utukufu wa Mungu

Kwa kawaida watu walizoea kuuona utukufu wa Mungu kwa ishara ya nuru." :mwanga mkali kutoka kwa Mungu". Stefano katika maono yake alimwona Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wangu.

Mwana wa Adam

Stefano alimtambulisha Yesu kwa cheo cha "Mwana wa Adam."