forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
826 B
Markdown
28 lines
826 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Baraza lilimjia juu Stefano kutokana na ujumbe wake.
|
||
|
|
||
|
# wajumbe wa baraza waliposikia mambo haya,
|
||
|
|
||
|
Hii ni hatua ya kugeuka; mahubiri yalifikia mwisho na baraza likachukua hatua.
|
||
|
|
||
|
# wakachomwa mioyo
|
||
|
|
||
|
Hii ni fumbo kwa, "kujawa na hasira"
|
||
|
|
||
|
# wakamsagia meno
|
||
|
|
||
|
Hili ni fumbo linaloelezea hasira nzito au chuki. "walikuwa na hasira ambayo walisaga meno yao kwa pamoja."
|
||
|
|
||
|
# Aliangalia mbinguni kwa makini
|
||
|
|
||
|
"Aliangalia juu kwenye mawingu."Inatokea kwamba Stefano peke yake aliona maono siyo mwingine yeyote katika mkutano.
|
||
|
|
||
|
# akaon utukufu wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Kwa kawaida watu walizoea kuuona utukufu wa Mungu kwa ishara ya nuru." :mwanga mkali kutoka kwa Mungu". Stefano katika maono yake alimwona Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wangu.
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Adam
|
||
|
|
||
|
Stefano alimtambulisha Yesu kwa cheo cha "Mwana wa Adam."
|