sw_tn/act/07/33.md

474 B

Vua viatu vyako

Mungu alimwambia Musa hivyo ili kumweshimu Mungu.

Sehemu unayosimama ni mahali patakatifu

Musa, eneo unalosimama sasa ni Mungu amelifanya kuwa takatifu, Uwepo wa Mungu ukpo katika eneo hili.

Nimeona

Nimeona kwa hakika pasipo shaka.

Watu wangu

Watu wa Mungu "Uzao wa Abraham,Isaka na Yakobo"

Nimeshuka ili niwaokoe

"nami nimeshuka ili kuwaondolea vifungo"

sasa njoo

"Jiandae" au "KUwa tayari" kwenda. Mungu anatumia amri, anamwamrisha.