forked from WA-Catalog/sw_tn
474 B
474 B
Vua viatu vyako
Mungu alimwambia Musa hivyo ili kumweshimu Mungu.
Sehemu unayosimama ni mahali patakatifu
Musa, eneo unalosimama sasa ni Mungu amelifanya kuwa takatifu, Uwepo wa Mungu ukpo katika eneo hili.
Nimeona
Nimeona kwa hakika pasipo shaka.
Watu wangu
Watu wa Mungu "Uzao wa Abraham,Isaka na Yakobo"
Nimeshuka ili niwaokoe
"nami nimeshuka ili kuwaondolea vifungo"
sasa njoo
"Jiandae" au "KUwa tayari" kwenda. Mungu anatumia amri, anamwamrisha.