forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
474 B
Markdown
24 lines
474 B
Markdown
|
# Vua viatu vyako
|
||
|
|
||
|
Mungu alimwambia Musa hivyo ili kumweshimu Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Sehemu unayosimama ni mahali patakatifu
|
||
|
|
||
|
Musa, eneo unalosimama sasa ni Mungu amelifanya kuwa takatifu, Uwepo wa Mungu ukpo katika eneo hili.
|
||
|
|
||
|
# Nimeona
|
||
|
|
||
|
Nimeona kwa hakika pasipo shaka.
|
||
|
|
||
|
# Watu wangu
|
||
|
|
||
|
Watu wa Mungu "Uzao wa Abraham,Isaka na Yakobo"
|
||
|
|
||
|
# Nimeshuka ili niwaokoe
|
||
|
|
||
|
"nami nimeshuka ili kuwaondolea vifungo"
|
||
|
|
||
|
# sasa njoo
|
||
|
|
||
|
"Jiandae" au "KUwa tayari" kwenda. Mungu anatumia amri, anamwamrisha.
|