forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
627 B
Markdown
24 lines
627 B
Markdown
# baadhi ya Waisraeli
|
|
|
|
Waisraeli wawili aliwaona wanaogombana wao kwa wao.
|
|
|
|
# akajaribu kuwapatanisha
|
|
|
|
Alijaribu kuwazuia wasipate kuendelea na ugomvi.
|
|
|
|
# Mabwana, Ninyi ni ndugu;
|
|
|
|
Musa alikuwa akizungumza na hao waisraeli waliokuwa wakigombana
|
|
|
|
# mbona mnakoseana ninyi kwa ninyi,?
|
|
|
|
Musa aliuliza swali kuwatia moyo waache kugombana. Msizidi kugombana tena
|
|
|
|
# Nani kakufanya mtawala na mwamuzi wetu?
|
|
|
|
Hili swali lilitumika kumkemea Musa."Huna mamlaka juu yetu"!
|
|
|
|
# Wewe unataka kuniua , kama ulivyomuua Mmisri jana?"
|
|
|
|
Mtu yule alitumia swali hilo kumwonya Musa aanze kuzani yawezekana wengi wao walimwona akimwua yule Mmisri.
|