forked from WA-Catalog/sw_tn
627 B
627 B
baadhi ya Waisraeli
Waisraeli wawili aliwaona wanaogombana wao kwa wao.
akajaribu kuwapatanisha
Alijaribu kuwazuia wasipate kuendelea na ugomvi.
Mabwana, Ninyi ni ndugu;
Musa alikuwa akizungumza na hao waisraeli waliokuwa wakigombana
mbona mnakoseana ninyi kwa ninyi,?
Musa aliuliza swali kuwatia moyo waache kugombana. Msizidi kugombana tena
Nani kakufanya mtawala na mwamuzi wetu?
Hili swali lilitumika kumkemea Musa."Huna mamlaka juu yetu"!
Wewe unataka kuniua , kama ulivyomuua Mmisri jana?"
Mtu yule alitumia swali hilo kumwonya Musa aanze kuzani yawezekana wengi wao walimwona akimwua yule Mmisri.