sw_tn/act/07/26.md

627 B

baadhi ya Waisraeli

Waisraeli wawili aliwaona wanaogombana wao kwa wao.

akajaribu kuwapatanisha

Alijaribu kuwazuia wasipate kuendelea na ugomvi.

Mabwana, Ninyi ni ndugu;

Musa alikuwa akizungumza na hao waisraeli waliokuwa wakigombana

mbona mnakoseana ninyi kwa ninyi,?

Musa aliuliza swali kuwatia moyo waache kugombana. Msizidi kugombana tena

Nani kakufanya mtawala na mwamuzi wetu?

Hili swali lilitumika kumkemea Musa."Huna mamlaka juu yetu"!

Wewe unataka kuniua , kama ulivyomuua Mmisri jana?"

Mtu yule alitumia swali hilo kumwonya Musa aanze kuzani yawezekana wengi wao walimwona akimwua yule Mmisri.