forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
502 B
Markdown
28 lines
502 B
Markdown
# Kukawa na njaa
|
|
|
|
"Kukawa na njaa."ardhi ikaacha kutoa chakula
|
|
|
|
# Mababa zetu
|
|
|
|
"Ndugu zake wakubwa Yusufu"
|
|
|
|
# Nafaka
|
|
|
|
"Chakula"
|
|
|
|
# aliwatuma baba zetu...Kaka zake
|
|
|
|
Yakobo aliwatuma baba zetu, ndugu zake na Yusufu.
|
|
|
|
# Katika safari ya pili
|
|
|
|
Katika safari yao ya pili ya kufuata chakula huko Misri.
|
|
|
|
# Akajionyesha
|
|
|
|
Yusufu akajifunua kwa ndugu zake na kujitambulisha kama ndugu yao.
|
|
|
|
# familia ya Yusufu ikajulikana kwa Farao.
|
|
|
|
Kwa maana nyingine; Farao akafahamu kuwa hao walikuwa ndugu zake na Yusufu.
|