sw_tn/act/07/11.md

502 B

Kukawa na njaa

"Kukawa na njaa."ardhi ikaacha kutoa chakula

Mababa zetu

"Ndugu zake wakubwa Yusufu"

Nafaka

"Chakula"

aliwatuma baba zetu...Kaka zake

Yakobo aliwatuma baba zetu, ndugu zake na Yusufu.

Katika safari ya pili

Katika safari yao ya pili ya kufuata chakula huko Misri.

Akajionyesha

Yusufu akajifunua kwa ndugu zake na kujitambulisha kama ndugu yao.

familia ya Yusufu ikajulikana kwa Farao.

Kwa maana nyingine; Farao akafahamu kuwa hao walikuwa ndugu zake na Yusufu.