sw_tn/act/07/01.md

12 lines
573 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Sehemu ya habari kuhusu Stefano iliyoanzia sura 6:8 inaendelea. Stefano anaanza kumjibu Kuhani Mkuu na baraza kwa kuanza kuzungumzia mambo yaliyotukia katika historia ya Israeli. Maelezo mengi ya Stefano yanatoka kwenye vitabu vya sheria vya Musa.
# Maelezo ya ujumla
Kwenye mstari wa 2,Stefano anaanza hotuba yake kumjibu kuhani mkuu na baraza.Anaanza hotuba yake kwa kuongelea mambo yaliyotokea katika historia ya Israeli.
# Ndugu na baba zangu,nisikilizeni mimi.
Stefano alikuwa akiheshimika sana kwenye baraza kwa salamu yake ya kifamilia.