forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
573 B
Markdown
12 lines
573 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Sehemu ya habari kuhusu Stefano iliyoanzia sura 6:8 inaendelea. Stefano anaanza kumjibu Kuhani Mkuu na baraza kwa kuanza kuzungumzia mambo yaliyotukia katika historia ya Israeli. Maelezo mengi ya Stefano yanatoka kwenye vitabu vya sheria vya Musa.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Kwenye mstari wa 2,Stefano anaanza hotuba yake kumjibu kuhani mkuu na baraza.Anaanza hotuba yake kwa kuongelea mambo yaliyotokea katika historia ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Ndugu na baba zangu,nisikilizeni mimi.
|
||
|
|
||
|
Stefano alikuwa akiheshimika sana kwenye baraza kwa salamu yake ya kifamilia.
|