sw_tn/act/05/33.md

359 B

Sentensi unganishi

Gamalieli anatoa maelezo mbele ya wajumbe wa baraza

Gamalieli, mwalimu wa sheria, aliyeheshimiwa na watu wote

Luka anamwelezea Gamarieli juu ya historia yake.

aliyeheshimiwa na watu wote

Alikuwa anaheshimiwa na watu wote

alisimama na kuwaamuru mitume wachukuliwe nje

Gamalieli aliwaagiza walinzi wawatoe nje mitume kwa muda.