forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
359 B
Markdown
16 lines
359 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Gamalieli anatoa maelezo mbele ya wajumbe wa baraza
|
||
|
|
||
|
# Gamalieli, mwalimu wa sheria, aliyeheshimiwa na watu wote
|
||
|
|
||
|
Luka anamwelezea Gamarieli juu ya historia yake.
|
||
|
|
||
|
# aliyeheshimiwa na watu wote
|
||
|
|
||
|
Alikuwa anaheshimiwa na watu wote
|
||
|
|
||
|
# alisimama na kuwaamuru mitume wachukuliwe nje
|
||
|
|
||
|
Gamalieli aliwaagiza walinzi wawatoe nje mitume kwa muda.
|