sw_tn/act/05/24.md

426 B

Walishikwa na butwaa

"walishtushwa" au "walichanganyikiwa"

Kuhusu wao

"kuhusu maneno waliyokuwa wamesikia" (taarifa kwamba mitume hawakuwa katika gereza)

litakuwaje jambo hili

Nini kimefanyika hata watu hawa kutoka nje alihali milango imefungwa na walinzi wakiwepo.

wamesimama hekaluni

Mitume hawakuwa ndani ya hekalu wanamoruhusiwa kiungia makuhani tu, bali walikuwa wamesimama kwenye ukumbi wa nje wa hekalu.