sw_tn/act/05/24.md

16 lines
426 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Walishikwa na butwaa
"walishtushwa" au "walichanganyikiwa"
# Kuhusu wao
"kuhusu maneno waliyokuwa wamesikia" (taarifa kwamba mitume hawakuwa katika gereza)
# litakuwaje jambo hili
Nini kimefanyika hata watu hawa kutoka nje alihali milango imefungwa na walinzi wakiwepo.
# wamesimama hekaluni
Mitume hawakuwa ndani ya hekalu wanamoruhusiwa kiungia makuhani tu, bali walikuwa wamesimama kwenye ukumbi wa nje wa hekalu.