sw_tn/act/05/07.md

302 B

mke wake aliingia ndani

Mke wa Anania naye aliingia ndani ya nyumba walimokuwa mitume.

Kilichokuwa kimetokea

"Kwamba mme wake alikuwa amekufa"

kwa thamani hiyo

"Kwa thamani hiyo" linalenga kuthibitisha kama Anania alileta fedha kwa mitume yenye thamani sawa na thamani ya shamba lililouzwa.