forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
302 B
Markdown
12 lines
302 B
Markdown
|
# mke wake aliingia ndani
|
||
|
|
||
|
Mke wa Anania naye aliingia ndani ya nyumba walimokuwa mitume.
|
||
|
|
||
|
# Kilichokuwa kimetokea
|
||
|
|
||
|
"Kwamba mme wake alikuwa amekufa"
|
||
|
|
||
|
# kwa thamani hiyo
|
||
|
|
||
|
"Kwa thamani hiyo" linalenga kuthibitisha kama Anania alileta fedha kwa mitume yenye thamani sawa na thamani ya shamba lililouzwa.
|