sw_tn/act/04/34.md

543 B

waliokuwa na hati za viwanja au nyumba

Umiliki wa hati za viwanja na nyumba kwa waliokuwa wanamiliki Yerusalemu

waliviuza na kuleta pesa ya vitu waliyokuwa wameuza

Fedha ambayo walilipwa kutoka vitu walivyoviuza.

Waliweka chini ya miguu ya mitume

Hii ilikuwa ni njia ya waumini: 1) kuonyesha waziwazi mabadiliko ya mioyo na 2) kuwapa mitume mamlaka juu ya namna zawadi inavyopaswa kutumika.

mgawanyo ulifanywa kwa kila muumini, kulingana na kila mmoja alivyokuwa na hitaji.

Waligawanya pesa kwa waumini kwa aliyekuwa na uhitaji