sw_tn/act/03/24.md

801 B

Sentensi unganishi

Petro anahitimisha hotuba yake kwa Wayahudi aliyoianza

Ndiyo, na manabii wote

"Ni dhahili manabii wote" Neno hapa "ndiyo" linaongeza msisitizo kwa kile kinachofuata.

tokea Samweli na wale waliofuata baada yake

"wale manabii ambao walifuata baada ya uhai wa samweli"

siku hizi

"siku hizi" au "mambo ambayo yanatokea sasa"

Ninyi ni wana wa manabii na wa agano

"ninyi ni warithi wa manabii" na "ninyi ni warithi wa agano."

katika mbegu yako

"kwasababu ya uzao wako"

familia zote za dunia zitabarikiwa.'

Anamaanisha mataifa mbalimbali yatabarikiwa kwa ajili yake.

Baada ya Mungu kumwinua mtumishi wake,

"Baada ya Mungu kumchagua mtumishi wake" au "Baada ya Mungu kutoa mamlaka kwa mtumishi wake"

mtumishi wake

Hii inarejea kwa Masihi wa Mungu, Yesu.