sw_tn/act/03/04.md

420 B

Petro, akimkazia macho

"Petro na Yohana walimwangalia mtu huyo kwa makini na Petro akaongea"

Kiwete akawaangalia

"kiwete aliwatazama Petro na Yohana kwa makini"

Fedha au dhahabu

Fedha au dhahabu ilitimika kuwakilisha pesa.

kile nilichonacho

Inafahamika kuwa Petro alikuwa na uwezo wa kumponya yule mtu.

katika jina la Yesu Kristo

"Kupitia mamlaka na nguvu ya Jina la Yesu Kristo" lilimponya mtu yule.