forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
452 B
Markdown
24 lines
452 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Petro anamaliza nukuu ya Daudi.
|
|
|
|
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Petro anasema, Daudi alisema maneno kuwa Mtakatifu wangu akimaanisha Yesu na maneno "wako" akimaanisha Mungu.
|
|
|
|
# wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo
|
|
|
|
Mwili wake Masihi hautabaki maiti muda mrefu mpaka uoze. au "kuchakaa"
|
|
|
|
# njia za maisha
|
|
|
|
"kweli yenye-kuhuisha"
|
|
|
|
# nijae furaha mbele ya uso wako.'
|
|
|
|
Neno "Uso" anamaanisha uwepo wa Mungu.
|
|
|
|
# furaha
|
|
|
|
"Shangwe au Kicheko"
|